News

ELIMU KWA MTOTO WA KIKE NA NAFASI YA KURUDI SHULENI BAADA YA KUJIFUNGUA

TEN/MET imefanikiwa kufanya utafiti ili kubaini ufanisi, changamoto na uwezo wa vituo vya elimu kwa njia mbadala (alternative education pathways) vinavyoweza kumuandaa na kumsaidia mtoto wa kike aliyelazimika kuacha shule kwa sababu ya ujauzito ili kuweza kutimiza ndoto zake kimaisha. Kulingana na utafiti huu, tumefahamishwa kuwa; Vituo vingi vinavyotoa elimu kwa njia mbadala vinapatikana maeneo…

READ MORE
News

Juma la Elimu, 31 Mei – 4 Juni, 2021, Rorya, Mara

Maadhimisho ya Juma la elimu (GAWE) ni tukio la alama kwa mashirika yasiyokuwa ya kiselikali (CSOs) yanayojushughulisha na elimu. Maadhimisho haya yalianza mara baada ya Mkutano Mkuu wa pili wa kiulimwengu ambao ulifanyika Dakar Senegal mwaka 2000. Kila nchi hufanya maadhimisho hayo katika wiki iliyopangwa na Global Campaign for Education (GCE). Ujumbe/Kauli Mbiu inayotolewa kila…

READ MORE
News

Asilimia 90 ya wanafunzi walalamikia viboko mashuleni

Na Elias Msuya, 25 Februari 2021, Gazeti la Mwananchi Dar es Salaam. Utafiti wa ukatili kwa wanafunzi ulitotelewa na taasisi ya Haki Elimu umeonesha asilima 87.9 ya wanafunzi wamepata unyanyasaji, ambapo asilimia 90 wasemesema walichapwa viboko. Akitoa matokeao ya utafiti huo jana Februari 24 Dar es Salaam, mtafiti kiongozi ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo…

READ MORE
News

INTERNATIONAL DAY OF THE GIRL CHILD (IGCD)

11th October is set as a reminder to advocate for gender equality during the commemoration of International Day of the girl child. The day provides stakeholders with a unique annual platform to raise awareness on gender equality, empower girls especially in areas where they have been neglected, and highlighting the challenges that girls face globally…

READ MORE
News

TAARIFA KWA UMMA

UTANGULIZI Tanzania Education Network/ Mtandao wa Elimu Tanzania ni mtandao wa mashirika yasiyo ya kiserikali zaidi ya miambili na kumi (210) yanayo fanya kazi Tanzania bara katika kanda kuu nane. Lengo la mtandao ni kuhakikisha kila mtoto wa kitanzania anapata haki yake ya msingi ya elimumsingi(basic education) iliyo bora. Kupitia wanachama tunaendelea kushirikiana na serikali…

READ MORE
News

2020/21 Education Budget Highlights

Achievements attained: financing fee-free basic education, whereby 1.03 trillion shillings was spent from 2015/16 to 2019/20; construction and rehabilitation of learning and teaching infrastructure including classrooms, laboratories, libraries, and dormitories; increased number of students who passed standard seven and form four examinations from 67.8 percent and 67.9 percent in 2015 to 81.5 percent and 80.6…

READ MORE
News

Breaking: Rais Magufuli aagiza shule zote kufunguliwa Juni 29

  Rais wa Tanzania, John Magufuli ameelekeza shule zote zilizokuwa zimefungwa kutokana na janga la corona zifunguliwe kuanzia Juni 29, 2020. Akitoa agizo hilo katika hotuba yake ya kufunga Bunge la 11, Rais ameelekeza pia kurejea tena kwa shughuli nyingine zilizokuwa zimezuiwa kama watu kufunga ndoa, huku akiwataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa…

READ MORE