ELIMU KWA MTOTO WA KIKE NA NAFASI YA KURUDI SHULENI BAADA YA KUJIFUNGUA
TEN/MET imefanikiwa kufanya utafiti ili kubaini ufanisi, changamoto na uwezo wa vituo vya elimu kwa njia mbadala (alternative education pathways) vinavyoweza kumuandaa na kumsaidia mtoto wa kike aliyelazimika kuacha shule kwa sababu ya ujauzito ili kuweza kutimiza ndoto zake kimaisha. Kulingana na utafiti huu, tumefahamishwa kuwa; Vituo vingi vinavyotoa elimu kwa njia mbadala vinapatikana maeneo…