Mkutano wa Kimataifa wa Elimu Bora
Taarifa kwa Vyombo vya Habari kuhusu Mkutano wa Kimataifa wa Elimu Bora iliyotolewa tarehe 29 Januari 2021. Pakua taarifa yote hapa.
Taarifa kwa Vyombo vya Habari kuhusu Mkutano wa Kimataifa wa Elimu Bora iliyotolewa tarehe 29 Januari 2021. Pakua taarifa yote hapa.
11th October is set as a reminder to advocate for gender equality during the commemoration of International Day of the girl child. The day provides stakeholders with a unique annual platform to raise awareness on gender equality, empower girls especially in areas where they have been neglected, and highlighting the challenges that girls face globally…
UTANGULIZI Tanzania Education Network/ Mtandao wa Elimu Tanzania ni mtandao wa mashirika yasiyo ya kiserikali zaidi ya miambili na kumi (210) yanayo fanya kazi Tanzania bara katika kanda kuu nane. Lengo la mtandao ni kuhakikisha kila mtoto wa kitanzania anapata haki yake ya msingi ya elimumsingi(basic education) iliyo bora. Kupitia wanachama tunaendelea kushirikiana na serikali…
Sera ya Taifa ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali ya mwaka 2001 inaweka msing wa uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini na kuweka mazingira wezeshi ya utendaji kazi wa Mashirika hayo kwa kutoa maana ya Shirika Lisilo la Kiserikali, kuainisha vyombo vya usimamizi vya Mashirika na kuweka utaratibu wa kusajili Mashirika. Sera hii ndiyo msing…
Achievements attained: financing fee-free basic education, whereby 1.03 trillion shillings was spent from 2015/16 to 2019/20; construction and rehabilitation of learning and teaching infrastructure including classrooms, laboratories, libraries, and dormitories; increased number of students who passed standard seven and form four examinations from 67.8 percent and 67.9 percent in 2015 to 81.5 percent and 80.6…
Rais wa Tanzania, John Magufuli ameelekeza shule zote zilizokuwa zimefungwa kutokana na janga la corona zifunguliwe kuanzia Juni 29, 2020. Akitoa agizo hilo katika hotuba yake ya kufunga Bunge la 11, Rais ameelekeza pia kurejea tena kwa shughuli nyingine zilizokuwa zimezuiwa kama watu kufunga ndoa, huku akiwataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa…
Achieving gender equality in education participation, in the teaching and learning process and in access to socialand economic opportunities that education can facilitate are key interlinked ambitions in two of the Sustainable Development Goals (SDGs) in the 2030 Agenda for Sustainable Development: SDG 4 on education and SDG 5 on gender equality. These aims are…
At least 13 School girls in Muleba District, who were expected to sit for the National Form Four examinations last year, failed to do so due to early pregnancy. Muleba District Education Officer (Secondary) Gerald Muhile said that in total, 42 schoolgirls had failed to sit for the exams, out of the number, 23 girls…
Every child has the right to learn. Although more children than ever before are enrolled in school, the duty-bearers obligated to realize this right for every child are collectively failing to improve learning, and this failure is deep and broad, and has significant consequences. Many children lack the knowledge and skills to realize their full…
Tanzania Education Network/Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET) envisions ‘a national education system through which every Tanzanian child has the opportunity to engage in quality and inclusive education’. This vision is achieved through its mission of ‘Coordinating and strengthening vibrant Civil Society Organizations (CSOs) in Tanzania through networking, capacity building, research and advocacy. The main focus…