Breaking: Rais Magufuli aagiza shule zote kufunguliwa Juni 29
Rais wa Tanzania, John Magufuli ameelekeza shule zote zilizokuwa zimefungwa kutokana na janga la corona zifunguliwe kuanzia Juni 29, 2020. Akitoa agizo hilo katika hotuba yake ya kufunga Bunge la 11, Rais ameelekeza pia kurejea tena kwa shughuli nyingine zilizokuwa zimezuiwa kama watu kufunga ndoa, huku akiwataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa…