Mkutano wa Kimataifa wa Elimu Bora
Taarifa kwa Vyombo vya Habari kuhusu Mkutano wa Kimataifa wa Elimu Bora iliyotolewa tarehe 29 Januari 2021. Pakua taarifa yote hapa.
Taarifa kwa Vyombo vya Habari kuhusu Mkutano wa Kimataifa wa Elimu Bora iliyotolewa tarehe 29 Januari 2021. Pakua taarifa yote hapa.
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo imetangaza orodha ya Awamu ya Kwanza yenye wanafunzi 47,305 wa mwaka wa kwanza waliopangiwa mikopo yenye thamani ya TZS 150.03 bilioni kwa mwaka wa masomo 2020/2021 unaotarajiwa kuanzia wiki ijayo. Akitangaza orodha hiyo jijini Dar es salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Bw. Abdul-Razaq Badru amesema kuwa kati ya wanafunzi…
11th October is set as a reminder to advocate for gender equality during the commemoration of International Day of the girl child. The day provides stakeholders with a unique annual platform to raise awareness on gender equality, empower girls especially in areas where they have been neglected, and highlighting the challenges that girls face globally…
10 years left to 2030: Civil society’s solutions, recommendations and plans of action to reach SDG4. Please download a tentative schedule here.
UTANGULIZI Tanzania Education Network/ Mtandao wa Elimu Tanzania ni mtandao wa mashirika yasiyo ya kiserikali zaidi ya miambili na kumi (210) yanayo fanya kazi Tanzania bara katika kanda kuu nane. Lengo la mtandao ni kuhakikisha kila mtoto wa kitanzania anapata haki yake ya msingi ya elimumsingi(basic education) iliyo bora. Kupitia wanachama tunaendelea kushirikiana na serikali…
Sera ya Taifa ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali ya mwaka 2001 inaweka msing wa uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini na kuweka mazingira wezeshi ya utendaji kazi wa Mashirika hayo kwa kutoa maana ya Shirika Lisilo la Kiserikali, kuainisha vyombo vya usimamizi vya Mashirika na kuweka utaratibu wa kusajili Mashirika. Sera hii ndiyo msing…
Baraza la Mitihani la Tanzania linawajulisha watu wote kuwa mfumo wa Usajili wa Watahiniwa wa Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE), Kidato cha Pili (FTNA) na Mtihani wa Maarifa (QT) 2020 umefunguliwa kuanzia tarehe 22/06/2020 na utafungwa tarehe 05/07/2020. Hivyo, Wakuu wa Shule za sekondari wahakikishe wanakamilisha usajili wa watahiniwa wa Kidato cha Nne (CSEE)…
Achievements attained: financing fee-free basic education, whereby 1.03 trillion shillings was spent from 2015/16 to 2019/20; construction and rehabilitation of learning and teaching infrastructure including classrooms, laboratories, libraries, and dormitories; increased number of students who passed standard seven and form four examinations from 67.8 percent and 67.9 percent in 2015 to 81.5 percent and 80.6…
Rais wa Tanzania, John Magufuli ameelekeza shule zote zilizokuwa zimefungwa kutokana na janga la corona zifunguliwe kuanzia Juni 29, 2020. Akitoa agizo hilo katika hotuba yake ya kufunga Bunge la 11, Rais ameelekeza pia kurejea tena kwa shughuli nyingine zilizokuwa zimezuiwa kama watu kufunga ndoa, huku akiwataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa…