Education

Announcement of TEN/MET New Board Chairperson & Vice Chairperson

To Members and Stakeholders Tanzania Education Network/Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET) is a national network of 158 members, working in the education sector in Tanzania mainland since its inception in 1999. TEN/MET envisions a national educational system through which every Tanzanian child has the opportunity to engage in quality education. The vision is enriched through…

READ MORE
Education

Waraka wa Elimu Na. 2 wa Mwaka 2021 kuhusu urejeshwaji shuleni wa wanafunzi waliokatiza masomo katika elimu ya msingi na sekondari kutokana na sababu mbalimbali

Kupitia waraka huu, Serikali inatoa fursa kwa wanafunzi wanaoacha shule kutokana na sababu mbalimbali kurejea katika mfumo rasmi wa elimu. Fursa hiyo itajumuisha wanafunzi wanaokatiza masomo kutokana na ujauzito ambapo wataruhusiwa kukamilisha mzunguko wa elimu yao katika mfumo rasmi. Tafadhali pakua waraka huo kupitia hapa  

READ MORE
Newsletters

Newsletter Special Edition June 2021

I am so delighted to present to you our special edition of the newsletter. This is the first of our many electronic editions that will follow after a long pause since our last edition was out back in 2019. My expectation is to see all of our upcoming newsletters featuring more stories of change from…

READ MORE
News

We cannot fail millions of children who need better education-JK

Kikwete – who was honoured by Theirworld for his outstanding contribution to global education – succeeds Julia Gillard as Chair of the GPE. FORMER President Jakaya Kikwete has taken over as leader of the Global Partnership for Education, which has helped millions of the world’s most vulnerable and marginalised children into school. It works with…

READ MORE
News

ELIMU KWA MTOTO WA KIKE NA NAFASI YA KURUDI SHULENI BAADA YA KUJIFUNGUA

TEN/MET imefanikiwa kufanya utafiti ili kubaini ufanisi, changamoto na uwezo wa vituo vya elimu kwa njia mbadala (alternative education pathways) vinavyoweza kumuandaa na kumsaidia mtoto wa kike aliyelazimika kuacha shule kwa sababu ya ujauzito ili kuweza kutimiza ndoto zake kimaisha. Kulingana na utafiti huu, tumefahamishwa kuwa; Vituo vingi vinavyotoa elimu kwa njia mbadala vinapatikana maeneo…

READ MORE
News

Juma la Elimu, 31 Mei – 4 Juni, 2021, Rorya, Mara

Maadhimisho ya Juma la elimu (GAWE) ni tukio la alama kwa mashirika yasiyokuwa ya kiselikali (CSOs) yanayojushughulisha na elimu. Maadhimisho haya yalianza mara baada ya Mkutano Mkuu wa pili wa kiulimwengu ambao ulifanyika Dakar Senegal mwaka 2000. Kila nchi hufanya maadhimisho hayo katika wiki iliyopangwa na Global Campaign for Education (GCE). Ujumbe/Kauli Mbiu inayotolewa kila…

READ MORE
Publications

The State of Violence Against School Children in Tanzania Mainland

This study was conducted to investigate the situation of violence against schoolchildren in mainland Tanzania. Inevitably violence against school children has a negative impact on their learning and also has the potential to variously interfere with their full access and attainment of basic education, thereby infringing on their right to education. Second, according to the…

READ MORE
News

Asilimia 90 ya wanafunzi walalamikia viboko mashuleni

Na Elias Msuya, 25 Februari 2021, Gazeti la Mwananchi Dar es Salaam. Utafiti wa ukatili kwa wanafunzi ulitotelewa na taasisi ya Haki Elimu umeonesha asilima 87.9 ya wanafunzi wamepata unyanyasaji, ambapo asilimia 90 wasemesema walichapwa viboko. Akitoa matokeao ya utafiti huo jana Februari 24 Dar es Salaam, mtafiti kiongozi ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo…

READ MORE